Luke 2:10-12

10 aLakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote. 11 bLeo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo
Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.
Bwana.
12 dHii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”

Copyright information for SwhNEN